MKE WA RAIS WA ZANZIBAR AMEFUNGUA SKULI YA TURKISH MAARIF
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi, amewataka wananchi wa Zanzibar kutumia vyema fursa ya kuwepo Skuli ya ‘Turkish Maarif Zanzibar’ kwa kuwapeleka watoto wao ili kupata elimu. Dk. Mwinyi ametoa wito huo leo katika Ufunguzi na Mahafali ya Kwanza ya Kidato cha Sita ya Skuli ya ‘Turkish Maarif
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed